Umuhimu wa mazao ya misitu yasiyo miti kwa Uhakika wa chakula katika kaya za Tanzania

Loading...
Thumbnail Image

Date

2000-07

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO

Abstract

Uhakika wa chakula limekuwa ni suala muhimu katika mijadala mbalimbali ya sera za kuondoa umasikini katika nchi nyingi zinazoendelea. Licha ya ongezeko kubwa la uzalishaji wa chakula katika nchi mbalimbaliwatu milioni 790 katika nchi zinazoendelea wanakabiliwa na uhaba wa chakula. Pia watu milioni 34 walioko kwenye nchi zenye viwanda na nchi zenye maendeleo ya kati wana uhaba mkubwa wa chakula (FAO 1999a). Kama watu wote wasio na lishe ya kutosha wangewekwa pamoja, idadi yao ingekuwa kubwa kuliko bara lolote lile ukiacha bara la Asia (FAO 1999a).

Description

Jarida

Keywords

MAZAO YA MISITU, CHAKULA KATIKA KAYA, ELIMU YA JINSIA

Citation

Collections